Msile chakula kilichotolewa kwa sanamu. Msile nyama inayotokana na wanyama walionyongwa au nyama ambayo bado ina damu ndani yake. Msijihusishe na uzinzi. Mkijitenga na mambo haya, mtakuwa mnaenenda vyema. Wasalamu.
kwamba msile cho chote kilichotolewa sadaka katika ibada za sanamu, kunywa damu, nyama ya wanyama wal ionyongwa; na muepukane na uasherati. Mkijitenga na mambo haya mtakuwa mmefanya vyema. Kwaherini.”